Posts

AFYA TALK

Wasiliana Nasi

Email: nmdabida9@gmail.com  WhatsApp 0765 163 943 Call/Sms     0765 163 943 Bonyeza

FURSA YA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO WA TSH 150,000/=

Image
 Usiendelee kutafuta kazi Kwa Mtaji Mdogo Tu Wa Tsh 150,000/= Unaweza kumilik Biashara Kubwa njoo Utajifunza Jinsi utakavyo milik Biashara Kubwa ya kimataifa na Yenye faida kubwa pia ,  Jiulize hili Swali Je ? ni Biashara gani Unaweza kumilik Kwa Mtaji WA Tsh 150,000/= kama unaisi ipo anzisha kama umekosa jibu na upo Arusha fika ofisni utafunzwa Bure ukielewa una anza kazi au Tupigie Kwa 0765 163 943 Ratiba Ya Madarasa  Kila Juma pili saa 15:00 Mchana J3-J5 Saa 10:30  Maalii ni Condo Hotels  Kumbuka hulipii hata Mia Unafunzwa tu ukielewa unaanza Biashara   Tupigie au Kwa 0765 163 943 Au Chat Na WhatsApp

NMN DUO RELEASE CAPSULES

Image
 Ipate Sasa Kwa Gharama Nafuu Wasiliana nasi kwa  0710 163 943 0765 163 943

PROSTATE RELAX CAPSULES

Image
 

TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE BILA UPASUAJII

Image
 TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE BILA UPASUAJII *BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*   Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa  *CHANZO CHA BAWASIRI* 1. Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva 2. Tatizo sugu la kuharisha 3. Ujauzito 4.Uzito wa mwili kupita kiasi 5. Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa) 6. Kupata haja kubwa ngumu 7. Kua na mgandamizo mkubwa tumboni 8. Kunywa pombe 9. Kula sana nyama nyekundu 10. Vidonda vya tumbo 10. Kunyanyua vitu vizito  *DALILI ZA BAWASIRI* 1 Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa 2 Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa 3 Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa 4 Kupata kinyesi chenye damu 5 Kupata maumivu makali wakati wa  kujisaidia haja kubwa 6 kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa  7 Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mish...

UJUE UGONJWA WA P.I.D NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Image
 UJUE UGONJWA WA P.I.D NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE   PID( Pelvic Inflammatory Disease)  Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)   Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D   1.Kupitia ngono zembe 2.Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja 3.Kufanya mapenzi bila kutumia kinga 4.Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono 5.Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara 6.Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba 7.Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako 8.Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano) 9.Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu DALILI ZA P.I.D 1.Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa 2.Uke kutoa harufu...