DALILI ZA VIDONDA TUMBO NA TIBA YAKE

 DALILI 16 ZA VIDONDA VYA TUMBO


1 kukosa hamu ya kula au kuskia kichefu chefu


2. Maumivu ya tumbo chini au juu upande wa kushoto zaidi


3. Vichomi tumboni au kifuani


4. Mwili kukosa nguvu gafla unapo chelewa kula


5. Kuumwa kichwa mara kwa mara na kuskia kizungu zungu


6. Kiungulia


7. Kukosa choo au kupata choo kigumu na kusababisha tumbo kuwa kuvwa


8. Maumivu ya mgongo hasa upande juu kushoto


9 kukosa hamu ya tendo la ndoa


10. Kuwa na hasira hasira 


11. Kuharisha au kutapika


12. Kupata hofu ya gafla bila sababu ya msingi


13. Moyo kulipuka lipuka na kuhisi presha inapanda


14. Presha hushuka au mapigo ya moyo yanapungua


15. Uziplto kupungua 


16. Pumzi kupana hasa nyakati za usiku 


Chukua tahadhari


Wataalamu wa tiba lishe tunatoa ushauri na tiba ya virutubisho ya kuponesha kabisa vidonda vya tumbo kikubwa ufate usha


uri na kutumia dozi kwa usahihi tuu

Comments

Popular posts from this blog

FURSA YA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO WA TSH 150,000/=

DALILI ZA PID MADHARA NA TIBA YAKE

PROSTATE RELAX