DALILI NA TIBA YA MADHARA YA UZAZI WA MPANGO

 🔴 *MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*


👉🏻Usumbufu wa hedhi

👉🏻Kuumwa kichwa mara mara

👉🏻Kizunguzungu

👉🏻Kichefuchefu

👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida

👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids) 



🔴 *MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*


👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe

👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga

👉🏻Kuumwa kichwa mara mara

👉🏻Kupata kichefuchefu

👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake

👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu

👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo

👉🏻Kupata kisukari

👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo

👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.

👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa


*🔴MADHARA YA KIJITI*


👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali

👉Kuchanganyikiwa kiakili

👉🏻Shinikizo la damu

👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda

👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa



*🔴MADHARA YA KITANZI*


👉🏻Utokaji ovyo wa damu

👉🏻Kutoboka fuko la uzazi

👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.

👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji

👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.



Kama umeshaathirika na moja Kati ya njia hizi karibu nikusaidie,.


tupigie kwa Ushari na tiba


Comments

Popular posts from this blog

UGONJWA WA GOUT NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA

FURSA YA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO WA TSH 150,000/=

UJUE UGONJWA WA P.I.D NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE