UNAJUA KWA NINI UPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI

 Ok sawa hii hali ya kuuma tumbo wakati wa hedhi Kuna magonjwa baadhii ambayo 


1.Endometriosis

    Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa kizazi huanza kutoka nje ya mfuko wa hilo au hata sehemu zinginezo


2. Adenomyosis


  Huu ni Ugonjwa wa wanawake ambapo tezi au vimbe(tumors)zinaota katika mfuko wa uzazi


   Huenda akawa ana PID au Ugonjwa wa vimbe katika nyonga maana ndio husababisha maumivu ya tumbo wakati wa hedhi ngoja tuone dalili gani PID


  1.maumivu chini ya kitovu huchanganyikana na maumivu ya chini ya mgongo mda mwingine japo sio sana husambaa mpaka mapajani

   2.kujihisi kutapika,kichefuchefu

   3.kutokwa na jasho wakati wa usiku

   4.kupata choo laini/kuharisha ilaa Mara nyingi Kupata choo kigumu Sana au kukosa kabisa

   5.kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi/siku kupishana pisha


Ushauri anatakiwa aende hospital akamuone daktar wa vipimo ampime halafu aje na matokeo kutoka kwa daktari tumpatie tiba ya kudumu ila aachane na vyakula vya viwandani Kama mikate sosage,pizza,baga,soda juice na chipsi n.k anatakiwa atumie vyakula Kama mboga majani,matunda aina Saba atumie ya kutosha,maziwa,maji mengi anywe hali ikiendelea aje kwaaji ya matibabu ya dawa ya vyakula tiba


Wasiliana nasi Kwa                                                     0765163943

0710163943






Comments

Popular posts from this blog

FURSA YA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO WA TSH 150,000/=

DALILI ZA PID MADHARA NA TIBA YAKE

PROSTATE RELAX