ZIJUE BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI NA TIBA YAKE

 BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI


▶️kuwashwa sehemu za siri


▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa


▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri


▶️Kupata vidonda 


▶️Kupata michubuko ukeni


▶️Maumivu wakati wa kukojoa


▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida


▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu


Wasiliana nasi Kwa 

0710 163 943

0765 163 943


Comments

Popular posts from this blog

UGONJWA WA GOUT NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA

FURSA YA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO WA TSH 150,000/=

UJUE UGONJWA WA P.I.D NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE