Posts

DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST

Image
 DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (ovary), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya vifuko vya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito. Sababu/ Mambo hatarishi yanayopelekea vimbe katika vifuko vya mayai: . . ➢ Matatizo ya homoni hali hii hutokana na matumizi ya vidonge vinavyotumiwa kwa ajili ya kupevusha mayai bila ushauri wa daktari. . . ➢ Ujauzito wakati mwingine uvimbe unaojitokeza huweza kukaa kwa kipindi cha ujauzito. . . ➢ Endometriosis hii huwa ni hali inayosababisha seli za ukuta wa tumbo la kizazi kuota nje ya kifuko chako cha kizazi. Baadhi ya tishu zinaweza kushikamana na vifuko vyako vya mayai na kutengeneza uvimbe. . . ➢ Kutotibu maambukizi katika mfumo wa uzazi na mkojo kama maambukizi ya bakteria kama vile UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa kama...

✍️HIZI NI DALILI 8 ZINAZOENYESHA UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME

Image
 MWANAUME,😭😭😭 BONYEZA HAPA ✍️HIZI NI DALILI 8 ZINAZOENYESHA UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME . 1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.  (2) Sehemu za siri zinasinyaa taratibu baada ya goli la Kwanza. 3) Mwili unahisi ganzi pamoja Na sehemu nyeti. 4) Hamu inakata gafla baada ya kutoa manii ( semens) 5) Nyeti zinasimama vizuri lakini ukitaka kuingiza Kwa mwanamke zinasinyaa. Hapa wengi hudhani wamerogwa. 6) Ukishindwa kurudia mara ya pili baada ya goli la Kwanza. Machine inakata moto haisimami tena hata ufanyeje inazidi kulala. 7) Machine kulala ndani ya nyeti za mwanamke wakati upo katikati ya mechi, mzigo unalala gafla Na kulegea ndani Kwa ndani.  8) Uume hurudi ndani na kuwa kama wa mtoto PATA SURUHISHO LA TATIZO HILO SASA KWA TIBA ILOYO BORA ZAIDI NA YA UHAKIKA ✍️KWA MAWASILINO Zaid+255710 163 943 Au  BONYEZA HAPA AU TUMA UJUMBE SMS KWA NAMBA HIZO

FAHAMU KUUSU NGUVU ZA KIUME

Image
 FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME wasiliana nasi Kwa ushauri zaidi wa.me/255765163943 Vyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na; ✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo ✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe ✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi ✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi ✍️Kisukari ✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi ✍️Matumizi ya madawa mbalimbali ✍️Umri hasa wazee ✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili ✍️Kuwa na tatizo la kibofu ✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu ✍️Kutopata usingizi kamili ✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa kama kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ✍️Kuwahi kufika kileleni ...

π—π—œπ—‘π—¦π—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—£π—”π—§π—” 𝗠𝗧𝗒𝗧𝗒 π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—žπ—˜ 𝗔𝗨 π—ͺπ—”π—žπ—œπ—¨π— π—˜

Image
 *MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUAMUA JINSIA* 1.Lazima mwanamke ajue mzunguko wake (menstrual cycle)siku ya 1-28 2.Lazima mzunguko wako uwe na mpangilio sahihi(unaweza ukachunguza mzunguko wako kwa miezi minne mfululizo) 3.PH ya uke lazima iwe kiwango sahihi 4-5.5(PH)inayotakiwa iwe 4.Ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume Wakati wa tendo.  JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME Ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauriwa kushiriki tendo la ndoa siku ambayo yai litakuwa limetoka kama mzunguko  siku 28 na uko sahihi ni siku ya 14 Njia nyingine ya kujua yai limetoka baba anaingiza vidole viwili ukeni wakati wa asubuhi na ukikut a uteute ujue yai limetoka kwahiyo jioni mnashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME? Kisayansi chromosome Y ambayo inahusika katika kutunga mimba ya mtoto wa kiume ina spidi kubwa sana ni nyepesi na haiwezi kuishi mda mrefu kwahiyo ukishiriki tendo la ndoa...

π—π—˜ 𝗕𝗔𝗗𝗒 π—›π—¨π—π—”π—œπ—§π—ͺ𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗔 𝗑𝗔 π—¨π—‘π—”π—£π—˜π—‘π——π—” π—žπ—¨π—” 𝗠𝗔𝗠𝗔

Image
 Embu Niambie, Utajisikiaje na wewe ukaitwa mama flani? Au kuongeza Mtoto mwingine🀰🏽🀱πŸ₯° Furaha yangu DrThabith, ni kuona Kila Mwanamke Ni MAMA🀱,  Bado nahitaji kupokea shuhuda zaidi ya 5000+ Mwaka huu PEKEE. Una nafasi ya kuwa mmoja wapo, Lakini huenda labda Wewe ndiye Huyu?!πŸ‘‡πŸΎ ✅ Imeshindikana Kabisa kubeba Ujauzito. ✅ Unatokwa na uchafu, harufu mbaya sehemu za Siri. ✅ Mzunguko wako wa hedhi haueleweki Tena. ✅ Unasumbuliwa P.I.D Fangasi, na U.T.I sugu. ✅ Unahisi Maumivu Makali wakati wa Tendo la Ndoa au kukosa hamu ya tendo Kabisa. ✅ Maumivu wakati wa kukojoa. ✅ Kiuno kuuma Sana wakati wa hedhi. ✅ Maumivu chini ya kitovu. ✅ Nimepima vipimo vyote vya Uzazi sina Tatizo lolote lakini sipati Mimba!  ✅ Unahisi Maumivu wakati wa tendo la Ndoa, Ukeni panakuwa pakavu Sana. ✅ Mimba kuharibika mara kwa mara kabla ya muda wa kujifungua  Usijali Kabisa, HABARI YAKO NJEMA HII HAPAπŸ‘‡πŸΎ ▶️ Uzazi Special Offer:- Hii ni special offer maalumu kwako mwanamke/ Dada, Unayeangaika N...

UNAJUA KWA NINI UPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI

Image
 Ok sawa hii hali ya kuuma tumbo wakati wa hedhi Kuna magonjwa baadhii ambayo  1.Endometriosis     Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa kizazi huanza kutoka nje ya mfuko wa hilo au hata sehemu zinginezo 2. Adenomyosis   Huu ni Ugonjwa wa wanawake ambapo tezi au vimbe(tumors)zinaota katika mfuko wa uzazi    Huenda akawa ana PID au Ugonjwa wa vimbe katika nyonga maana ndio husababisha maumivu ya tumbo wakati wa hedhi ngoja tuone dalili gani PID   1.maumivu chini ya kitovu huchanganyikana na maumivu ya chini ya mgongo mda mwingine japo sio sana husambaa mpaka mapajani    2.kujihisi kutapika,kichefuchefu    3.kutokwa na jasho wakati wa usiku    4.kupata choo laini/kuharisha ilaa Mara nyingi Kupata choo kigumu Sana au kukosa kabisa    5.kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi/siku kupishana pisha Ushauri anatakiwa aende hospital akamuone daktar wa vipimo ampime halafu aje na matokeo kutoka kwa daktari tumpatie...

APONA P. I.D BAADA YA KUTESEKA MIAKA MINGI

Image
 UJUE UGONJWA WA PID DALILI MADHARA NA TIBA YAKE P I D (Pelvic Inflammatory Diseases) Dalili za PID zinatofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine.  Kwa baadhi ya wanawake dalili huwa mbaya na kwa wengine dalili huwa za kawaida, wakati mwingine wanawake hukaa na ugonjwa kwa muda mrefu bila kujua kutokana na kuchanganya dalili na magonjwa mengine. DALILI ZA PID 1.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto 2.Sehemu za uke kuwa na ulaini sana 3.Kupata maumivu wakati watendo la ndoa wakati mwingine kupeleekea kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ndoa na hivo kukosa tena hamu ya tendo la ndoa 4.Kuvurugika kwa hedhi 5.Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani 6.Maumivu wakati wa kukojoa Kupata maumivu wakati wa choo 7.Kupata damu Mara baada ye tendon au wakati wa tendo  8.Homa kichefu chefu na nk MADAHRA YA PID Maambukizi kwenye njia ya uzazi husababisha athari kubwa sana kwa mwanamke, 1.M...